Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Wanahangaika sasa hivi mitandaoni, halafu kibaya zaidi wao wametapiliwa, Sisi tunafanya kweli
Na bado moja, weka bando washa data, muda wowote tunakinukisha tena [emoji1548]

Walitucheka jana sisi kuandika barua na wao leo wameshaandika yao. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚
Morrison ni mchezaji, Senzo ni mtendaji. Usajili unaofanyika ni wa wachezaji, watakaoingia kwenye pitch ni wachezaji. Mtendaji anaajiriwa muda wowote hata mwisho wa msimu, na wala haingii dimbani kucheza. Unaona Simba wanatafuta Kaimu Mtendaji, sasa je Yanga watatafuta Kaimu Morrison?
 
Simba ni zaidi ya SENZO.
alikuwepo pale kama boya tu lakini mambo yote yalikuwa yanafanywa na SIMBA WENYEWE.
na huwezi kuona pengo lake.
Swali la msingi mnampa cheo gani hapo yanga.?.
Vipi mshindo msola nafasi yake?

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Ukishakikosa lazima kukikashifu na kukitia dosari na ndio sababu hata Morison alivyokuwa Yanga mlimsema sana kwa kauli chafu lakini leo huyo huyo amegeuka sukari kwenu. Lol.
 
Unawaza kumsajili Chama wakati Million 80 ya kumpa FEI TOTO asaini mkataba mpya huna hii ni zaidi ya vichekesho
 
Ukishakikosa lazima kukikashifu na kukitia dosari na ndio sababu hata Morison alivyokuwa Yanga mlimsema sana kwa kauli chafu lakini leo huyo huyo amegeuka sukari kwenu. Lol.
Waambie tumesajili aliekua anasajili wachezaji Simba
 
Senzo Hana madhara yoyote pale simba.
MOO mwenyewe ndo kila kitu pale simba.kwa hyo tu tunasema wala haijatuuma..
GSM wameshaona wametoa boko wanawapooza.
Ukishakikosa lazima kukikashifu na kukitia dosari na ndio sababu hata Morison alivyokuwa Yanga mlimsema sana kwa kauli chafu lakini leo huyo huyo amegeuka sukari kwenu. Lol.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Morrison ni mchezaji, Senzo ni mtendaji. Usajili unaofanyika ni wa wachezaji, watakaoingia kwenye pitch ni wachezaji. Mtendaji anaajiriwa muda wowote hata mwisho wa msimu, na wala haingii dimbani kucheza. Unaona Simba wanatafuta Kaimu Mtendaji, sasa je Yanga watatafuta Kaimu Morrison?
Morison kitu gani bwana. Mechi ngapi hajacheza.

Kwanza tulishamtowa kichwani mwetu hasa baada ya kuonyesha utovu wa nidhamu kwenye ile Derby.
 
Unawaza kumsajili Chama wakati Million 80 ya kumpa FEI TOTO asaini mkataba mpya huna hii ni zaidi ya vichekesho
Kupata kichekesho hiki bonyeza neno SENZO. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mtani umeffurugwa leo.
 
Hicho kipeperushi kimeandikwa na nani, maana Senzo ndio huwa anaandika

Halafu kwanini wanasema bodi ina...,si waseme tu mwamedi
Wamepagawa barua hata saini haina. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Weka bundle
 

Attachments

  • Screenshot_20200809-175446.png
    Screenshot_20200809-175446.png
    225.3 KB · Views: 2
Back
Top Bottom