Tusubiri na tuone.
Hey mpendwa! Kwaiyo kama mtu hataki tena kuwepo hapo keshapewa dau linalotokana na maumivu ya upande wa pili baada ya wao kukomolewa utawalaumu viongozi??Kiongozi mimi Ni Simba..Senzo Ni mtu makini nakwambia Kama alikuwa hana kazi Kama unvyosema tungemfukuza kitambo Sana..mbona alitimuliwa uchebe..
Binafsi sijapenda kuondoka kwake..Kama wewe umefurahi Ni sawa kwako..
Lakini kuondoka kwakwe Tena kwenda Yanga Ni ujinga mkubwa na ushenzy viongozi wa Simba wamefanya..
Huu Ni mwanzo ujinga mwingi unakuja..endelea kuwatetea..Kuna siku si nyingi utakumbuka haya maneno
Kiongozi mimi Ni Simba..Senzo Ni mtu makini nakwambia Kama alikuwa hana kazi Kama unvyosema tungemfukuza kitambo Sana..mbona alitimuliwa uchebe..
Binafsi sijapenda kuondoka kwake..Kama wewe umefurahi Ni sawa kwako..
Lakini kuondoka kwakwe Tena kwenda Yanga Ni ujinga mkubwa na ushenzy viongozi wa Simba wamefanya..
Huu Ni mwanzo ujinga mwingi unakuja..endelea kuwatetea..Kuna siku si nyingi utakumbuka haya maneno
Pole sana umechanganyikiwa hadi hujui unaongea nini
Eeeeh baba Mungu muumba wa mbingu na nchi mjaalie afya njema huyu kiumbe wako Shadeeya pamoja na furaha ya kudumu hata pale zitakapotimia zile Back to Back 10. Eimeeeeen.Tusubiri na tuone.
Umejikaza sana!!
Senzo ndio nani???? Au kwenye zile goli 4 alifiunga magoli mangapiUmecjanganyikiwa sana,vipi Senzo tumemalizana na ninyi!?
Nimekwambia kuna kazi maalum ametumwa na Simba, ukasema si rahisi kihivyo. Jiulize ule uwanja wa Kigamboni umetolewa katika mazingira gani...Anaenda kuwa na cheo gani huyu pale yanga??
Nimeitoa full Mkuu waone vizuri. 🤣
Atakuwa afisa mchezajiAnaenda kuwa na cheo gani huyu pale yanga??
Huyu ni chama mwenyewe.. hizo story ntan sahau kabisa, hata akiwa free huyu mtomuweza, anafukia 170mil huyu kwa msimuNimeitoa full Mkuu waone vizuri. [emoji1787]
na hapa ni clubKweenddraaaaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Soon tutapiga kwenye mshono na sie.
Hata Magori wakati anaondoka hatukupenda, pengo la CEO linazibika kiwepesi, aliwakimbia Orlando itakua sisi bana, issue ni kupoteza Mchezaji..hapo ndipo patamuKiongozi mimi Ni Simba..Senzo Ni mtu makini nakwambia Kama alikuwa hana kazi Kama unvyosema tungemfukuza kitambo Sana..mbona alitimuliwa uchebe..
Binafsi sijapenda kuondoka kwake..Kama wewe umefurahi Ni sawa kwako..
Lakini kuondoka kwakwe Tena kwenda Yanga Ni ujinga mkubwa na ushenzy viongozi wa Simba wamefanya..
Huu Ni mwanzo ujinga mwingi unakuja..endelea kuwatetea..Kuna siku si nyingi utakumbuka haya maneno
Mkuu inatosha sasa utasababisa huyu mama wa watu apate sonona.na hapa ni clubView attachment 1532451
na hii pana ni Twita ya chama.. kama wanaweza mnunua wanunue [emoji23][emoji23]Mkuu inatosha sasa utasababisa huyu mama wa watu apate sonona.
Au siyo @Shadeeya[emoji12][emoji12][emoji51]
Hii tuseme tumemwaga nini eti mana si ugali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
TUTAELEWANA TU KIDOGO KIDOGO. [emoji1787][emoji1787]