Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Mpaka sasa humu watu wameshindwa kupata maamuzi ya TFF suala la Morrison. Naona kwenye magroup ya whatsap kuna breaking news in favor of wananchi.

Au ndiyo mambo ya fake news
 
Hahahahahahahahah Mkishinda hii kesi ya Morison leo.
Najipiga BAN ya maisha JF.

Nb.
Ujanja ujanja wenu na GSM leo umefika mwisho.
Tumewazoea,hata yule Mwl wa Madrasa hutoa ahadi mara nyingi tu hatekelezi
 
Sherehe za kumnyoa mkia. Adi waombe poo safari hi
 

Attachments

  • maneno_nyagaly_20200810_144935_0.mp4
    7.7 MB
Simba ni kikundi cha wahuni tu.
Wamemkurupukia morrison kasepa na mpunga wao πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…