Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Mmmh!! Ukiona mtu perfomance yake inashuka basi ujue lilikuwa garasa hilo Mtani.
Kaputeini wetu msimu uliopita mbona alituonyesha kiwango bora toka tumemsajili kabla ya kupata majeraha.
Sasa shida ipo hapo, binafsi nazungumzia afanye vizuri na isiwe kwa msimu mmoja tu.
Kwa siku za karibuni Makambo ningemwelewa, sema hakudumu hapo.
Anyway, nawaombea sajili zenu ziendelee kuwa magarasha ili tuendeleze ubabe