Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Muwe nae makini Huyo Engeneer maana anapigaga picha na kina Morrison na tshimbimbi alafu kumbe hawajasaini mktaba.


Tena muhakikishe wamesaini page zote 😛
Mi wakisharushaga kwenye Official page ya YangaSc basi huwa sina wasiwasi.

Naamini hamna mapungufu.
 
Uwezo wa LUIS JOSE MIQUISSONE tu ni kikosi kizima Yanga.
Hiiii
2199073_FB_IMG_1563739450584.jpg
 
Ushabiki sio uadui shtuka weweeee. [emoji108][emoji108][emoji108]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uadui upo wapi hapo? Hahahahahaa mimi nawabananisha tu,
Maana nyie ndio mlisema kuwa mkigundua kuwa Morrison hajasinya yanga mtatimua uongozi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uadui upo wapi hapo? Hahahahahaa mimi nawabananisha tu,
Maana nyie ndio mlisema kuwa mkigundua kuwa Morrison hajasinya yanga mtatimua uongozi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Duuhh!! Sasa ndo unatubananisha kwa kutuita kauli zisizofaa Mtani.

Ilishaisha iyooo ishu ya Morison saa hizi tupo na kina Tuisila.
 
Back
Top Bottom