Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Mi wakisharushaga kwenye Official page ya YangaSc basi huwa sina wasiwasi.Muwe nae makini Huyo Engeneer maana anapigaga picha na kina Morrison na tshimbimbi alafu kumbe hawajasaini mktaba.
Tena muhakikishe wamesaini page zote 😛
Naamini hamna mapungufu.