Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Muwe nae makini Huyo Engeneer maana anapigaga picha na kina Morrison na tshimbimbi alafu kumbe hawajasaini mktaba.


Tena muhakikishe wamesaini page zote 😛
Mi wakisharushaga kwenye Official page ya YangaSc basi huwa sina wasiwasi.

Naamini hamna mapungufu.
 
Ushabiki sio uadui shtuka weweeee. [emoji108][emoji108][emoji108]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uadui upo wapi hapo? Hahahahahaa mimi nawabananisha tu,
Maana nyie ndio mlisema kuwa mkigundua kuwa Morrison hajasinya yanga mtatimua uongozi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uadui upo wapi hapo? Hahahahahaa mimi nawabananisha tu,
Maana nyie ndio mlisema kuwa mkigundua kuwa Morrison hajasinya yanga mtatimua uongozi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Duuhh!! Sasa ndo unatubananisha kwa kutuita kauli zisizofaa Mtani.

Ilishaisha iyooo ishu ya Morison saa hizi tupo na kina Tuisila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…