Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Wachezaji wapya wa yanga Tuisila Kisinda pamoja na Mukoko Tonombe leo SAA 7:30 mchana wanatarajiwa kuingia Tanzania kwa usafiri wa ndege.


#DaimaMbeleNyumaMwiko.
 
Mtaniiii.. msimu jana nyie probably na prison ndio timu zilizokua na suluhu nyingi sana, hamfungwi ila mnasuluhu tu.. sababu ya kusuluhu ni kutokana na timu yenu kushindwa kufunga magoli, hata ushindi wenu ulikua nu 1-0, 2-1, 2-0.. ushindi hafifu hafifu tu... mmenda nunua wachezaj ambao ndani ya misimu 3 hawana goli 30 wote kwa pamoja..mtahangaika mtani

hebu fikirika huku kwetu, tuna watu ambao ndani ya msimu 3 wana magoli 120+ wote kwa pamoja.... lazima mpate wafumania nyavu mtani, tofauti na hapo yale ya msimu jana tegemea yakijirudia
 
Aaah!! Nakubali Mtani japo niseme tu naamini wakina Waziri watafanya vizuri.
 
[emoji3][emoji3] Umefanya nimecheka. Lol

#Ubingwa huo kwiiio yawapasa pia kuamini si kila siku utapata wewe tu.[emoji126][emoji126]
Kuna siku hata nyie mtapata ila ni baada ya sisi kupata at least mara tano mfululizo[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…