Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Utopolo kwenye ubora wenu, Wachezaji mliowasajili mnaenda kuwapokea uwanja wa ndege, ningewaona mnaakili kama hao Wachezaji mngeenda kuwatambulisha Uwanja wa Uhuru pale ili muingize na hela.
Huo ni ushamba
 
Utopolo kwenye ubora wenu, Wachezaji mliowasajili mnaenda kuwapokea uwanja wa ndege, ningewaona mnaakili kama hao Wachezaji mngeenda kuwatambulisha Uwanja wa Uhuru pale ili muingize na hela.
Huo ni ushamba
Mkopo ule mkuu,
 
Kweli ni tishio. Kila mkigusa uwanja nje ya nchi mnapigwa khamsa!!!!
Wanajua ushindi wa magumashi magumashi wataupeleka mpaka nje.

Labda waandae wale wapuliza spray mana ndio wanawabebaga na hasa baada ya Senzo kuondoka ambaye hakuwa muumini wa jannja jannja.
 
Wanajua ushindi wa magumashi magumashi wataupeleka mpaka nje.

Labda waandae wale wapuliza spray mana ndio wanawabebaga na hasa baada ya Senzo kuondoka ambaye hakuwa muumini wa jannja jannja.

Mtani kuna swali langu pale juu nimekuquote.
 
ILA NAOMBEA HAWA MAJAMAA WASIWE TYPE YA KINA YIKPE, NA MORISSON MANA TUTAWEKA WAPI SURA ZETU KWA SHANGWE HILI. 🤔🤔
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…