I hop hiyo namba itaendelea kuwa na bahati mana ndiyo alokuwa akiitumia kule Rayon sportsHakika hapo wazee wajipange na pia tumempa jezi namba ile aliyokuwa anavaa Makambo.
Ha ha ha haKuna yule aliyesema asivuliwe nguo jana ndio wamemvua zoote hamna waliyombakisha. [emoji23][emoji23][emoji23]
Uwanja wa uhuru ulikuwa mtupppu.
Ha ha ha haNiambie Mkuu nasikia eti mmepiga bomu mochwari halafu mnashangilia mmeua. [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba kww vyovyote vile kila mguu utakuwa na malipo yake siyo!![emoji23][emoji23][emoji23]Duuh!! Hivyo mtu anajidhalilisha namna hii kisa tu analipwa. Lol
Kiasi gani analipwa kwa kubusu mguu mmoja? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wwkachukua viingilio vyetu kisha wakasèpa nazo na kutuachia li screen halina sauti tukaishia kuona watu wanavuana nguo kimyakimyaIla nyie bana. Hivyo kisa sisi Makapuku tulioamua kujazana Uwanja wa Uhuru mkatunyima kabisa sauti kwenye big screen yetu. [emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1545586
Daaa hawa jamaa asee, hapo mi ni No Comment! Najionea tu kinachoendeleaHuyu jamaa ni mzima kweli!!!!?
Mi nilidhani ni yule roporopo tuu kumbe haka kamchezo hata big boss!!View attachment 1545762
Daaaaaaah mashabiki wa Utopolo ni washamba, mbona jambo la kawaida sana ilo kwa mtu unayempenda. Acheni ushamba dunia itawashangaa.Munguu!! Hii nini ?? Tafadhali naomba ufafanuzi
Mtani hayo mambo ya kawaida, au kwako busu ni jambo la ajabu.Wa Yanga mlisema ni ulimbukeni.
Haki hapa ni nini Mtani?View attachment 1545450
HahahaaaaaaaahYaani ningekuwa kampeni Meneja Wa mwanasiasa Fulani kwenye uchaguzi unaokuja ningemshauri atumie helikopta japo Mara mbili tatu hivi. Hapo ningekuwa nimewin kura zote za wana Simba, mana wenzetu helikopta kwao ni Sapraiz!
Nimeomba ufafanuzi mkuu mbona unakua mkali sana?Daaaaaaah mashabiki wa Utopolo ni washamba, mbona jambo la kawaida sana ilo kwa mtu unayempenda. Acheni ushamba dunia itawashangaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niambie Mkuu nasikia eti mmepiga bomu mochwari halafu mnashangilia mmeua. [emoji23][emoji23][emoji23]
Duu kulamba viatu na miguu!!? Ni kawaida kwenu tu ndio mana mnavuana hadi nguo mnaanza kumendeana mendeana nyuma kama hapa. Na Michezo hii ni kawaida kwenu!?Daaaaaaah mashabiki wa Utopolo ni washamba, mbona jambo la kawaida sana ilo kwa mtu unayempenda. Acheni ushamba dunia itawashangaa.
Inameremetaaa!Imetulia tuliiView attachment 1546007
Sasa wanaommendea nani hao ni walinzi wake, Kweli mambwa mnajua kuropoka.Duu kulamba viatu na miguu!!? Ni kawaida kwenu tu ndio mana mnavuana hadi nguo mnaanza kumendeana mendeana nyuma kama hapa. Na Michezo hii ni kawaida kwenu!?View attachment 1545999