netein
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 281
- 480
mambo ya kuchangia kwa bakuli yameshapitwa na wakati, mim kama mwanachama nachangia club yangu kwenye kulipia card, kuingia uwanjan na kununua jezi na vitu vingine vya club! viongozi aina ya Musola hawahitajiki karne hii ya kidigitali.Inapoitwa timu ya Wananchi wewe kama Mwananchi ni lazima uwajibike changia klabu yako Acha ujanja ujanja.