Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Naombeni mnipemwongozo wanautopolo,nimemsikia mwenyekiti wenu kaomba msaada wa michango moto umekata.
Nima bukumbili hapa nataka niwasaidie je nitume kwenye namba ipi?
 
Unajituma sana mkuu.. Ningekua na madaraka huko juu ningekupa tenda ya kua msemaji wa club, bahati mbaya sina.

Naomba kukuuliza personal question, mbali na Yanga una timu yoyote unashabikia huko nchi za watu (Europe)
Shukrani Mkuu. Uuwiiii!! Madaraka tena. Lol.

Naipenda Man U japo kwa sasa najiona mapenzi yanapungua. 😂
 
Kesho huyu mtoto anaweza kutua na tukaenda kumbeba mgongoni kabisa Mana hata kwa kumuangalia tu kwa you tube kuna kitu kikubwa sana unaweza kukiona kwake. Mimi binafsi nime approve![emoji16][emoji16]View attachment 1546898
Hahahaa. Tunaachaje kumbeba eti. 😂

Niliwasikia wale wachambuzi uchwara eti wanajadili kama tuna hela za kumlipa eti kisa anatokea Angola ambako wanatumia Dollar basi eti hivyo itabidi tumpe mpunga mrefu nikasema hamna anachofanya Yanga kikawa kizuri.
 
20200825_072547.jpg
 
Hahisi reactions za Wanayanga kutokubaliana na utaratibu wa kuchangia uliotolewa na Msola umewagusa Viongozi,,ndo maana mpaka leo hii hawajaitangaza hiyo namba ya kuchangia.

Au inawezekana kama unavyosema Mzee kakurupuka tu kutokana na mihemko yake iliyotokana na kelele na hamasa ya mashabiki aliokuwa akiongea nao

Yote kwa yote, ni muhimu suala hili likatolewa ufafanuzi "officially" na uongozi kwani limeleta taharuki na tafrani miongoni mwa mashabiki.Kama litaachwa hivi bila kufafanuliwa linaweza likapunguza morali na muitikio wa mashabiki hiyo tarehe 30/08/2020
mzee wa gambe[emoji23]yanga mlifeli kwenye kuchagua viongozi, Mwakalibela na Msola wote wazee wa vyombo.
FB_IMG_15983298589057990.jpg
 
mzee wa gambe[emoji23]yanga mlifeli kwenye kuchagua viongozi, Mwakalibela na Msola wote wazee wa vyombo.View attachment 1547303
Nakumbukaga ahadi yake kipindi kile cha uchaguzi kama sikosei alisema eti kwamba atatoa 1b akipata uwenyekiti cha ajabu mpaka leo kimya.

Au sijui alikuwa anaizungumzia 1b ipi. 😂
 
Nakumbukaga ahadi yake kipindi kile cha uchaguzi kama sikosei alisema eti kwamba atatoa 1b akipata uwenyekiti cha ajabu mpaka leo kimya.

Au sijui alikuwa anaizungumzia 1b ipi. [emoji23]
1BIL unadhan n masikhara
 
Shukrani Mkuu. Uuwiiii!! Madaraka tena. Lol.

Naipenda Man U japo kwa sasa najiona mapenzi yanapungua. [emoji23]
Ok poa, naona kumbe upo team pendwa.. Basi haina mbaya wote tumeangukia sehemu moja (I'm united fan too) ili kutoharibu themes ya thread naomba niishie hapa.
 
Back
Top Bottom