Hizo ziache zibakie za kusikia tu Mtani ila zile zenyewe zinasema tu kwamba mzigo umechelewa kufika.Bado nasikia, ndiyo maana wameacha kwanza kuuza hizi mpya.
Hizo ziache zibakie za kusikia tu Mtani ila zile zenyewe zinasema tu kwamba mzigo umechelewa kufika.
Yanga taifa kubwaHIZI NI SHAMRA SHAMRA TU
Kweli Yanga ni timu ya wananchi, naona uzi wao umedoda Kyle wana amia uku[emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie ni yanga mlio jichanganya kuwa wanyama tu
Eti wanasema kaiga. πππbumbuli anatwambia sound check ya harmo kashuka na chopa alafu tukisema hawa utopolo mnakuja juu kama moto wa kifuu