Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu
 
Hivi wakuu kama timu yetu Yanga inateswa namna ile kwa timu iliyopungufu tena kutoka Burundi, itakuaje sasa tukikutana na timu kama KMC ambayo tulishindwa kuifunga kwenye mechi za kirafiki mpaka Ligi kuu?

Daima mbele nyuma mwiko
 
Lucy Emayer yawezekana ulikuwa sawa kabisa.....

Yule mwenzenu aliyewaita utopolo nae mlimchota mitama ya Adam mchomvu ikasome
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…