Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaa. Kile cha pale msimbazi Mkuu. 🤣🤣🤣Hivi vibabu B viko kituo gani Cha wazee ndugu zangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Kile cha pale msimbazi Mkuu. 🤣🤣🤣Hivi vibabu B viko kituo gani Cha wazee ndugu zangu?
Nakazia na tofauti ilishaonekana. 😀Wananchi Leo ndiyo siku ya kulifanya lile Jambo letu.
Sisi sio saizi yao.
Anaachaje kuvunja kiuno hapo. 😂😂Hapa ni uso kwa uso na Manula Aisha
Sasa mbona walikuwa wameshazeeka. 😎😎Picha B ni ya Gor Mahia miacha kadhaa nyuma siyo SSC
Usijafariji wewe utopolo fc [emoji23]
Mtani utaongea sana mwenyewe mwaka huu. 🤣🤣Mimi ni Yanga damu lakini kwa kikosi nilichokiona leo niseme tu timu yetu bado ni ya kawaida sana
Wacha kabisa msimu ukianza kuna watu wataomba diclopar[emoji23][emoji1609]Baba Mzazi eee baba Mzazi. [emoji23][emoji23]
Yaani wenzetu tunawasimanga kwa kila jambo sahz mana kila tunachofanya kinawaudhi!WANANCHI TUNAAMKA KWENYE UZI WETU KWA STYLE HII HAPA. [emoji28][emoji28]
Hawa mafundi ni Watoto kabisa hawa!!
Yah na hatutaki kupangiwa. 😂😂Kweni mkuu jezi zinakuuma nini? Si tutazindua kwa mda wetu na wala hatuna presha.
Daaa kiukweli tupo nyuma sana kitabibu. Hivi toka kipindi kile hadi Leo balama bado majeruhi tena Wa kuchechemea!?
Na mwaka huu wataumia sana.Hawa kila jambo la Yanga linawauma kichizi asee
Hahahahaaa.HILI FUNIKO LA LEO SIJUI LITAFUNULIWA LINI! KUNA MCHAMBUZI KASEMA KWELI LEO KAJUA KUTOFAUTISHA KATI YA TAMASHA NA BONANZA!!
Ha ha haSasa mbona walikuwa wameshazeeka. [emoji41][emoji41]
Mtani nimecheka. Lol.Mwambieni yule mmakonde aache kuiga iga.atakuja kuvunjika spinal cord.
Ampe shida jembe ni jembe
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Sijawahi kudhania kama Yanga yaeza fanya mtu akachanganyikiwa namna hii. 😂😂😂Tuache utani wakuu hii timu yetu Yanga inahitaji misimu 4 mpaka 5 kuja kuchukua ubingwa lakini kwa sasa bado sana, tuendelee tu kujenga timu yetu.
Daima mbele nyuma mwiko
Ila yule Baba levo hafai bana mana kama nawaona Mbumbumbu walivyonuna Mo kuitwa Mwarabu wa Nguruka. 😂😂😂Ndugu unasumbuka na huyu mwarabu Wa Nguruka!?
Ha ha ha ha ha sahzi huyo ukimgusa kichwani atakwambia NIRUDISHIE SHATI LANGU!Sijawahi kudhania kama Yanga yaeza fanya mtu akachanganyikiwa namna hii. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtani na baddddoo.