Utopolo mnajua kujitekenya na kucheka wenyeweBwana Mungalu kagundua umbumbumbu anaotaka kuambukizwa imebidi astuke mapemaaa!! Tutaona na kusikia mengi!View attachment 1557456
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jamani ni kweli Mungu yupo!!!Inasemekana wana umri sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1557829
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kwa nini Mungalu afanye mazoezi na walioenda kuoa? Au na yeye alienda kuoa!? Kipi kimemsibu asiungane na wenzake huko Mbeya?Mkuu mbona Mugalu yupo Dar na anafanya mazoezi na kocha wa viungo?
Naye pia alirudi Congo baada ya Simba Day. By the way, hata kama alienda naye kuoa, si jambo la kushangaza kwa mtu mwenye akili timamu (kama ipo lakini)Kwa nini Mungalu afanye mazoezi na walioenda kuoa? Au na yeye alienda kuoa!? Kipi kimemsibu asiungane na wenzake huko Mbeya?
Huyu Mungalu kawapa siku na msipompa pesa zake ataendelea kufanya mazoezi Bunju peke yakeNaye pia alirudi Congo baada ya Simba Day. By the way, hata kama alienda naye kuoa, si jambo la kushangaza kwa mtu mwenye akili timamu (kama ipo lakini)
Simba hakuna mambo ya kudaiana na wachezaji, hayo mambo ya zamaniHuyu Mungalu kawapa siku na msipompa pesa zake ataendelea kufanya mazoezi Bunju peke yake
Kwa uonevu huu unaofanywa na wazee wenu kwa vijana!?TUNAWAKERAAAAAView attachment 1558669
Lol. Utafanya wengine wanune huko Mtani.
Hivyo unafurahia kuporomoka Mtani? ππYani hapo tumeporomoka nafasi 8 [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] utopolo huko aliko sasaView attachment 1556539
Umeonaeee. Na hapo pona pona yako ni huko kuvua hizo vitu la sivyo wangekubeba juu juu aisee.Mimi imewahi kunikuta hii, first time naingia taifa mechi ya simba na yanga,, japo nilikua nimewahi kuingia mara 2 nyuma kwenye mechi za kawaida, sijui ilikuaje nikajichanganya nikaingilia kule kwa simba tena nikiwa na jezi na skafu, na kipindi hicho yanga ya babu ni ya moto sana (tulishinda ile mechi 2-0) simba wenyewe walijua kabisa kua wanafungwa.
Ile nimetokea tu upande wao aiseh wakanifukuza nashukuru Mungu mbio ziliniokoa, nilikimbia huku navua jezi na skafu nikabaki na singrendi tu ya ndani hivo hata niliokua nakutana nao mbele hawakutilia maanani kama wale walionitoa baruti huko nyuma.
Isingekua Mungu na mbio I'm sure ningeyachezea makofi ya kutosha siku ile.
Hawa jamaa hawafai kabisa. Wafunguage kituo cha kufundishia ngumi kabisa πmana wako vizuri hizo pande.
Kwa majibu haya ya hasira Naamini terminator atakuwa kamgonga mtu makofi kweli!
Hakika Shem nadhani mleta uzi akipata chance angebadili sababu inawezekana kwake na ndio rahisi pia kuliko kwa hao wasimamizi.Gang Chomba huwezi fanya editing kwenye majina yakawa na capitals? Au wasimamizi wa JF saidieni thead hii ikae vizuri please.....
Wanajitahidi kuzifanya siri za ndani ila cha ajabu zinaliki. πππBwana Mungalu kagundua umbumbumbu anaotaka kuambukizwa imebidi astuke mapemaaa!! Tutaona na kusikia mengi!View attachment 1557456
Nakazia. π€£π€£π€£ akomae hapo hapo kwani watafanya sirii wee mwishowe itakuwa dhahiri. π€£π€£π€£π π π π mugalu komaa hapo hapo hao ng'ombe washazoea kudanganya watu kuwa wao ni club tajiri kumbe hakuna kitu.
Doooh!!Inasemekana wana umri sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1557829
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kwa hili swali huezi pata jibu la mana hapa sababu haiingii akilini hata kidogo hii.Kwa nini Mungalu afanye mazoezi na walioenda kuoa? Au na yeye alienda kuoa!? Kipi kimemsibu asiungane na wenzake huko Mbeya?