Hiviii Mtani wapi wameandika kwamba msimu mpya lazima ukianza watu wawe na jezi mpya 🤔 hebu punguza pupa na wewe.Wakuu jezi vipi kesho ligi inaanza tutavaa nini pale kwa Mkapa? Mbona tunatia aibu hivi wananchi wenzangu.
Daima mbele nyuma mwiko
Shadeeya
Nadhani mpaka sasa limeshakuwa ni swala lililo chini ya uwezo hivyo sisi wana Yanga tunapaswa kuwa na subira tu na si kingine.Wakuu jezi vipi kesho ligi inaanza tutavaa nini pale kwa Mkapa? Mbona tunatia aibu hivi wananchi wenzangu.
Daima mbele nyuma mwiko
Shadeeya
Siamini kama ni wewe ndio umeandika haya maneno, 😀😀 Daaah.Hiviii Mtani wapi wameandika kwamba msimu mpya lazima ukianza watu wawe na jezi mpya 🤔 hebu punguza pupa na wewe.
Hamna hata ambaye anatiwa aibu hapa. 😀
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Ha ha ha ha!Mooo aarena imegeuka uwanja wa VITASA. [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha ukasuku 23 kwenye nini!?Hapana,.. nimecheka tu Simba kaporomoka nafasi nani ila gap lake na nyie ni uzidishw nafasi aliyopo (23) mara 3 ndio zinakaa sehemu moja
Anaogopa na yeye Yale mazee yatamshukia kama mwewe yatamlamba vibaoOooh!! Halafu mtani hufanyi fair aiseeee. Mbona za chini chini hutuletei unazificha huko?
#Masumbwi Fc.
Kwa nini sa? 🤣🤣🤣Siamini kama ni wewe ndio umeandika haya maneno, 😀😀 Daaah.
Hahahaa!! Hatari.Anaogopa na yeye Yale mazee yatamshukia kama mwewe yatamlamba vibao
Kwani GSM wanasemaje juu ya hili?Nadhani mpaka sasa limeshakuwa ni swala lililo chini ya uwezo hivyo sisi wana Yanga tunapaswa kuwa na subira tu na si kingine.
Una uhakika na unachosema ama umemeza kale kapicha kalikowekwa juzi!?[emoji23][emoji23] tatizo watu wenu wa propaganda wanafeli sana, Magulu yuko hapa mjini, ..wawa , chris na Luis wote wako hapa hawakwenda Mbeya, ni Kwasababu walichelewa jiunga na timu, mtakutana nae kwenye ligi na atawadonoa
Mimi sijambo kabisa, marahabaaa kwa niaba ya Mzee Onyango. 😜Hujambo lakini? 😎 Shikamoo!! 🤣
Umemjibu vema sana!Hiviii Mtani wapi wameandika kwamba msimu mpya lazima ukianza watu wawe na jezi mpya [emoji848] hebu punguza pupa na wewe.
Hamna hata ambaye anatiwa aibu hapa. [emoji3]
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
[emoji23][emoji23][emoji23]naona unakwepa makonde kijanja,mana huko sasa hivi shikamoo isipotoka ni makofi tu!Hujambo lakini? [emoji41] Shikamoo!! [emoji1787]
Kama wana la kusema watatuambia. Teh tehKwani GSM wanasemaje juu ya hili?
Ewaaaa!! Sio watu wazuri nyie hamkawii kutoa makonde. 😂😂😂😂Mimi sijambo kabisa, marahabaaa kwa niaba ya Mzee Onyango. 😜
Umeonaeee!! Hawa wenzetu mpaka kwenda nao kwa akili. 😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23]naona unakwepa makonde kijanja,mana huko sasa hivi shikamoo isipotoka ni makofi tu!
Mkuu tuache masihara hii aibu ni kubwa sana siku moja imebaki Msimu mpya uanze jezi hakuna hahahahaa.Madela Yale mekundu na mengine yanafanana na majuisi ya tajiri yameshakuchosha!?