Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Dogo lugha inamzingua sana kiasi kama anakosa hadi raha hivi,ila Mdogo Mdogo atajua tu kiingereza kidogo na ndipo moto utawaka!
Hakika!! Afadhali angekuwa anaongea kifaransa walau angepata wenzake. Ila kwa kireno hana budi kujifunza kingereza.
 
Masikini kishingo akee[emoji23][emoji23]
Yanga kuna mambo mengine mnatumia kujifariji kuzima machungu ya kushindwa uwanjani! Hayo mambo ya nje ya uwanja hata kama kweli yapo, hayabadili rekodi za matokeo ya ligi nchini, kama ile ya 5-0, 6-0, 4-1 nk
 
Masikini kishingo akee[emoji23][emoji23]
Hahahahaaa. Wwwweeeeuuuweeeee Hahahahaaaa. Lol

Kuna video moja hiyo alikuwa anajibu shot mbaya. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜… alikuwa anaulizwa kuhusu kagere. πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…