Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hakika!! Afadhali angekuwa anaongea kifaransa walau angepata wenzake. Ila kwa kireno hana budi kujifunza kingereza.Dogo lugha inamzingua sana kiasi kama anakosa hadi raha hivi,ila Mdogo Mdogo atajua tu kiingereza kidogo na ndipo moto utawaka!