Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kimeanza kunuka mapemaaaa. Lol

Wasiojielewa wanamdharau na kumbeza Kigwangwala eti kisa wanachotaka wao ni kufurahi na kujisahaulisha kwamba kauliza maswali ya msingi. [emoji23][emoji23]

#Wameuzwaaa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anaulizw bl 20 za hisa ziko wapi...
Anajibu "sikukopeshi bodaboda"
Halafu mbumbumbu wanashangilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…