Kikubwa points tatu Mtani hayo ya ushindi mwembamba na mnene tutayajua mwisho wa ligi. π€£Yanga hatimaye imeshinda kwa mbinde sana tena ushindi mwembamba mno.
Hongereni kwa kunusurika kutoka suluhu.
πππKuna mikia imenunaaaa[emoji23][emoji23]
Ila afadhali tumepata ushindi. [emoji617][emoji617]Mi hata sielewi naona tumejazana tu.
Na kama Sarpong leo haonekani kabisa
Wivu gani sasa!?nimewapa hongera [emoji23][emoji23]Wivu tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakika Bro. Haya mengine naamini Kocha atazidi kuyafanyia kazi.
Km bbc vile yn fasta ushatupia[emoji122][emoji122][emoji122][emoji3][emoji3]
Hvi unahisi mwisho wa ligi kutakuwa na mabadiliko yeyote mtani!??Kikubwa points tatu Mtani hayo ya ushindi mwembamba na mnene tutayajua mwisho wa ligi. [emoji1787]
Naona wachezaji bado hawajaa vizuri. Wanahitaji muda zaidi kuweza kuzoeanaHakika Bro. Haya mengine naamini Kocha atazidi kuyafanyia kazi.
Si unaona hata uzi wetu umechangamka Mkuu sababu ya hizi updates.Km bbc vile yn fasta ushatupia[emoji122][emoji122][emoji122][emoji3][emoji3]
HAYA TUMESHINDA MECHI YA KWANZA NJE MSEME LINGINE.
#MTADAI UWANJA HAUNA MASHIMO.
Daaah!! Ndio tunapata kona ya kwanza. π€π€π€
Dkk ya 84. lol.
Hakika kwani hatuko vibaya sana.Naona wachezaji bado hawajaa vizuri. Wanahitaji muda zaidi kuweza kuzoeana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante Mtani.Hongera mtani ingawa kwa mbinde
Yap!! Naamini this season yatakuwepo Mtani.Hvi unahisi mwisho wa ligi kutakuwa na mabadiliko yeyote mtani!??
Hamna mwendo nyie soon mnarudi kwenye hali yenu ya unyonge mliyoizoea
Mnalo la kujiuliza hapo mtani, maana Mkienda kwenye yale mashamba yenye visiki vya miwa, utamuelewa huyo kalinyo wenu kwa nn alikimbizwa kwaoAhsante Mtani.
Hii kwa mbinde imefushafutika kwani kwa sasa tunazungumzia Points saba Mtani.