PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
Yanga kashinda 3-1 zidi ya Polisi Dodomajamani hivi Yanga leo si mna mechi?? mbon a hamtupi updates au ndo kimeshanuka tayari??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga kashinda 3-1 zidi ya Polisi Dodomajamani hivi Yanga leo si mna mechi?? mbon a hamtupi updates au ndo kimeshanuka tayari??
utawaweza yeboyebo....rip oljoro ila azam ikishinda refa anapigwa kazi tunayo..
rip oljoro ila azam ikishinda refa anapigwa kazi tunayo..
yaani utadhani Yanga na Simba ndio wenye haki miliki ya ushindi, wengine kama Azam hawapaswi kushinda
hAHAHAAAAA,huu ni upepo tu wa kisoka utapita sosi JK mkuu wa kaya..
hAHAHAAAAA,
HATA UKIMWI NI UPEPO TU, UNAPITA, AISEE
Khaa!!yani chama letu yanga ndio tumefulia mpaka tumemuweka dereva rehani hotelini?.......gosh!!
Nchunga pls chapa mwendo Mosha rudi utuokoe lol!
Mabadiliko yanahitajika.
Nadhan umesahau pia kuwa yanga ndio inayoongoza kwa kufungwa goli 6-0 na mahasimu wao!!najua umepitiwa mwanarekodi nakukumbusha tu.
ntakaporudi ntakuja kuwapa mafanikio, malengo na mikakati ya yanga.
na hatma ya ubaya tunaopandikizwa kutokana na utajiri tulionao.