Kombo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,812
- 511
Huyu Nchunga anastahili kuchinjwa,haiwezekani tunafungwa kipigo cha aibu
Punguza hasira Mkuu,
nafikiri "tumtafute tumtwange mangumi huku tukimkimbiza kama kawaida yetu!"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Nchunga anastahili kuchinjwa,haiwezekani tunafungwa kipigo cha aibu
Huyu Nchunga anastahili kuchinjwa,haiwezekani tunafungwa kipigo cha aibu
Full Time
Yanga 4, JKT Oljoro 1
presha inatuanza mapema.urafiki cup yanga 2 - 3 jamhuri gemu imeisha
ACCORDING to Global Publishers mmerusha pesa za pilau za mama ntilie kwenyepresha inatuanza mapema.
Ni timu B kweli mkuu ilipelekwa halafu nasikia wamefukuzwa na chama cha soka za Zanzibar kwa kushirikiana na serikali ya huko, wanayanga njooni mthibitishe ni kweli watoto wenu wamerudishwa?nasikia imeenda timu B ni kweli?
Ni timu B kweli mkuu ilipelekwa halafu nasikia wamefukuzwa na chama cha soka za Zanzibar kwa kushirikiana na serikali ya huko, wanayanga njooni mthibitishe ni kweli watoto wenu wamerudishwa?
Yananihusu, bila ndala kuwatungua kombe la urafiki halinogi.Masuke,yanakuhuuuu??
yanga hawana timu B, labda kama wliokoteza wachezaji mitaani halafu wakawapa jezi wakacheze!Ni timu B kweli mkuu ilipelekwa halafu nasikia wamefukuzwa na chama cha soka za Zanzibar kwa kushirikiana na serikali ya huko, wanayanga njooni mthibitishe ni kweli watoto wenu wamerudishwa?
jamani jana okwi alicheza?