Mbibi Shadeeya anasema Zidi kuota ndoto za mchana baadae jua likizama atakuamsha eee Ses.Hii haitawaepusha na kichapo kesho ujue Shadeeya?
Wadhania kesho ni mbali basi. 😎Hii haitawaepusha na kichapo kesho ujue Shadeeya?
Hesabu za mauzo ya jezi za Simba unazo ?Mauzo yenu ya jezi mpya hayo hapo,
Ukipiga hesabu nyie mmepata mil 10,400,000.. Milion 10 na laki 4 Tu
Tu assume labda, kwa hesabu za kufikirika (haziwezekani ila anyway tu assume tu) tu assume mauzo yatabak juu hivyo hivyo kila mwez.. that means kwa mwaka msimu au tuseme mwaka mtakua na 10,400,000x12=124,800,000
Tukumbuke wakati mnauza hizo jez 8000, kulikua na matangazo kibao na maandiliz kem kem ya mauzo hayo, ambayo sitegemei yarudiwe tena, so kwa kifupi tu ni kwamba hata mil 80 hamtopataView attachment 1581505
Muda kama huu kesho utakua ushanuna saa hizi😀Mbibi Shadeeya anasema Zidi kuota ndoto za mchana baadae jua likizama atakuamsha eee Ses.
Umesikia Mbabu? 😎
Mungu Akipenda wala si mbali mzee mwenzangu(ila wee kijanaaaa)Wadhania kesho ni mbali basi. 😎
lol. Wanijua vyema Ses nna ujana gani mie. Teh teh. 🤣🤣🤣 ejigoo mie jua lilishazama atii.Mungu Akipenda wala si mbali mzee mwenzangu(ila wee kijanaaaa)
Tulia were ni mtoto mdogo hujui kitu.Hii haitawaepusha na kichapo kesho ujue Shadeeya?
Sifikirii kuwa hivyo.Muda kama huu kesho utakua ushanuna saa hizi😀
Insha Allah na Allah atupe uzima ifike hiyo kesho tujue mbivu na mbichi.Mungu Akipenda wala si mbali mzee mwenzangu(ila wee kijanaaaa)
Nakujua saana, ngoja nikachukue tochi yangu nimtafute huyo mbibi yu wapi? Simuoni atiiii🤪🤪🤪lol. Wanijua vyema Ses nna ujana gani mie. 🤣🤣🤣 ejigoo mie 🤣
Mie mbibi wewe ni mbabu mwenzangu. 😂😂
Hahahaaa!! LolNakujua saana, ngoja nikachukue tochi yangu nimtafute huyo mbibi yu wapi? Simuoni atiiii🤪🤪🤪
Aamin, tuombe uzimaInsha Allah na Allah atupe uzima ifike hiyo kesho tujue mbivu na mbichi.
Nakataa, tupinge?😀🤪Sisi 1 wao 0
Kataa.
Nakataa, njoo tupinge😀🤪Sisi 1 wao 0
Kataa.
Hukawii kusema tulifuta. 😂😂Nakataa, tupinge?😀🤪
Mkeka wangu hauchanikagi hata siku moja🤪Hukawii kusema tulifuta. 😂😂
Simba ana mkataba, nadhani lishajibiwa huko juu, halipwi kama yangaHesabu za mauzo ya jezi za Simba unazo ?
Tuone namna gani timu hz zinanufaika au la na mauzo ya jezi