Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Winga wa yangasc ambae ni Raia wa Congo, Tuisila Kisinda baada ya kuuona uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro amesema sio mbaya sana, Kikubwa uzoefu na kujua namna ya kuutumia ili upate matokeo.
 
Hesabu za mauzo ya jezi za Simba unazo ?

Tuone namna gani timu hz zinanufaika au la na mauzo ya jezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…