Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Yanga bana dahhhhhhhhh!yani APR lainiiiiiiiiiii kama kuchomeka pyuuuuuuuuu!
 
Mamluki!!!!!

DUDU BLAKI nashabikia Yanga toka 1980 enzi za kina Mkwasa, Alan Shomari, Ahmed Amasha, Isiaka hassan Chukwu, kila siku ni chandimu tuuu hata hatushindi kikombe chochote cha Africa, tunajivunia nini? kumfunga simba? ndo maana Tanzania hatufiki popote ki Soka
 
Yanga inahitaji Centre half kevin n canavaro wote wachezaji aina moja no 4..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hiyo fomesheni yenu ya kuchezesha 5-3-2 sijui mmeitoa wapi, naona jana ndo iliwaokoa inabidi muendelee nayo.
 
ukuta wa Yanga wa sasa hivi unanikumbusha Ukuta wa AC Milan wa Mwaka 1989 na 2003.

1989...
1. Galli
2. Tasotti
3. Maldini
4. Costacurta
5. Nahodha Franco Baresi


2003...
1. Dida
2. Cafu
3. Nahodha Paolo Maldini
4. Jaap Stam
5. Nesta
 
mchezo ulikua hivi;
-Ameanza Bahanuz wa yanga akapata,
na salm said wa mafunzo akapata.
-Canavaro wa yanga akapata,said msa shabaan wa mafunzo akakosa.
-Kiza wa yanga akapata,mohamed Ablahim wa mafunzo naye kapata.
-Nionzima wa yanga akapata, na juma jaku wa mafunzo akapata.
-Aliyefunga penalt ya mwisho ni Chuji na ile moja iliyobaki tukawagawia mafunzo watu weweweeeeeeeeeee.....!!!!.
Yanga inanipa raha sana.
hahahahahahahaaaaaaa.......!!!!
 
bongo hakuna mpira hata kidogo,,,,,ngoja ligi yagu ya ulaya ianze
 
ile penalt ya kiiza kama pirlo vileeeeeeeeeeeeee
 

maha-RAGE oyeeee!
 
Well done to my beloved local team young african... Tunawasubiri simba(team ya waarabu) in the finals.
 
Wana-JF;
Tukiwa bado na majonzi ya ajali ya meli iliyotokea na kuua watanzania na wasio watanzania wengi baharini majuzi, kuna hoja imekuwa ikijadiliwa kwamba ni kwanini marehemu wote walifanyiwa Ibada ya Kiislamu wakati kuna baadhi yao hawakuwa wa imani ya Kiislamu, kwani pia alikuwepo Padri wa Kanisa Katholiki.

Nikiwa nafikiria haya, kuna wazo hili la klabu ya Yanga chini ya Baraza la Wazee linaloongozwa na Mzee Akilimali na wenzake, kwamba ni kwanini wakati wa hitma ya kuwakumbuka waliofariki uliofanyika pale klabuni Jangwani wiki 1 kabla ya uchaguzi wa viongozi,taratibu zote zilifanyika kwa imani ya kiislamu?

Pia ukirejea uchaguzi uliofanyika wiki mmoja iliyopita napo pia zilifanyika sala la kiislamu kabla shughuli za uchaguzi hazijaanza. Na katika uchaguzi ule pia walikuwepo wagombea ambao siyo waumini wa Kiislamu kuanzia ngazi ya Mwenyekiti, Makamu na hata wajumbe.

Hivyo basi mimi napenda kuuliza, ni kwanini yanga inaitwa timu ya Wananchi wakati shughuli zake zinapofanyika ziwe za hitma au uchaguzi huwa zinafanywa kama taasisi ya Kiislamu? Je ni kweli kwamba katika yanga hakuna wanachama au viongozi ambao wana imani zingine au hawana dini? Kama ni kweli kwamba wapo wengine wa Imani tofauti, je logic inatoka wapi wa mambo ya Yanga Football Club kuendeshwa kama Taasisi ya Kiislamu?

Naomba tujadili kwa hoja na tuone nini mantiki ya YANGA F.C kuendesha shughuli zake kama Taasisi ya Kidini.
TELO.
 
Ngoja waanze wengine kwanza,mimi nitarudi baadaye kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…