Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

kuna kipindi hadi kwenye tiketi za kuingilia kati ya simba na yanga, zilishawahi kuandikwa maandishi ya kuran, hadi watu walilalamika sana...hata hivyo, sisi tusio waislam huwa tunawavumilia kwa hilo, lakini laiti kama wakristo ndo wangefanya hivyo, ungesikia kelele na manung'uniko ya ajabu...nafikiri ni bora tuchague kuishi kwa kuvumiliana tu ili tz yetu iwe ya amani.
 
Mkuu utaita askofu wakati waliopo wote wamevaa kanzu na karabaghashee.Akili ya kawaida ni kwamba jumuia inayoizunguka asilimia kubwa ni waislamu.Hata simba wanafanyaga hivyo hivyo na sio yanga tu
 
Nafikiri waislam wanapalilia udini kuliko kitu kingine kila mahali lakini "YOUNG AFRICAN SPORTS CLUB" haina udini mimi niliwahi kuichezea timu hiyo
Kwanini wenzetu waumini wakiislam wanaokuwa na nafasi sana kwenye shughuli za klabu? Wengi wao wanakuwa na shughuli binafsi si waajiliwa hivyo wanapatikana
Pili wenzetu ushirikina ni sehemu ya maisha yao na dini yao
tatu :Yanga ndipo harakati za kupigania uhuru zilikuwa zinafanyika kwa wakazi wa mzizima yote sasa [DARESALAAM]
Mwl JK alikuwa anafika sana kwenda mtaa wa mafia hata bao alikuwa ana chezea pale mtaa wa Kongo chini ya mti mkubwa sijui kama bado upo ule mti
 
Kwani haujui kuwa yanga ni tasisi ya chama cha mapinduzi,
naipenda yanga but ninapokumbuka ilikuwa tasisi ya ccm najihisi kuichukia!
 
Kwani haujui kuwa yanga ni tasisi ya chama cha mapinduzi,
naipenda yanga but ninapokumbuka ilikuwa tasisi ya ccm najihisi kuichukia!

ccm ndo yanga make ilianza yanga mwaka1936 ikaja ccm 1977,. Acha kupotosha umma
 
...kwa kwaida waislamu huwa wana tabia ya kuombea marehemu na hizi club iwe Yanga au simba wanao utaratibu huo...

katika uchaguzi wa yanga wagombea wakristo walikuwpo..na hata aliyeshinda nafasi ya makamu mwenyekiti ni mkristo anaitwa Frank Sanga...sawa mtoa mada@TELO..pia kulikuwa na mtu anaitwa Yono Steven Kavela...alikuwepo mwamli Joseph Chibura...sasa cjui ulikua unamaanisha nini ulipoleta mada hii@TELO...na wengine

Kuhusu zile Tiketi ilikua mechi kati ya Simba na Yanga..kumbuka mechi yanga ilikua mwenyeji na ilikua ndio mechi ya kwanza kuchezwa uwanja mpya wa Taifa katika Kuzidhiti Mapato hasa Tiketi feki waliamua kuweka muhuri wenye maandishi ya Kiislamu Mpeni sifa Yesu...
 
Last edited by a moderator:

Hapo pekundu rudia kusoma mada yangu. Nauliza tu ni kwanini shughuli za Yanga F.C hasa kama uchaguzi wa viongozi unaohusisha wanachama wote itanguliwe na sala ya Kiislamu wakati kuna wana siyo wa Imani ya Kiislamu? Je YANGA F.C ni Taasisi ya Kidini ya Kiislamu? hapo ndiyo hoja yangu. Naamini sasa utakuwa umenielewa ukiunganisha na huo mfano wa wagombea uliotoa hapo kwenye post yako.
 
...hahahahahahahaha...naona umeamkia Yanga leo ..umegusia uchaguzi na kuanza kwa sala wakati ulisema hata wagombea wa yanga ni waislamu..sawa sawa..ulishawahi kuhudhuria uchaguzi wa simba?...mwaka juzi...uliyoongozwa na bwn Dalali...

nimekusoma..nami nimemaliza
 
Hapa duniani kuna maandishi ya kiisilamu? Au kiarabu ndio kiisilamu?
..hahahahahaha...ndio umekuja kusahihisha?...haya tupe maoni yako juu ya mada..kama huwezi baki jikoni upike wanaume tuko sebuleni tuna maongezi...
 
nchi imejaa siasa na udini hadi kwenye michezo? This is too much guys mod bora muhamishe hii topic
 
amakweli, maendeleo hatuwezi kuyapata kwasababu tunafikiria kwa MAKALIO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…