Mpeni sifa Yesu
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 646
- 129
kuna kipindi hadi kwenye tiketi za kuingilia kati ya simba na yanga, zilishawahi kuandikwa maandishi ya kuran, hadi watu walilalamika sana...hata hivyo, sisi tusio waislam huwa tunawavumilia kwa hilo, lakini laiti kama wakristo ndo wangefanya hivyo, ungesikia kelele na manung'uniko ya ajabu...nafikiri ni bora tuchague kuishi kwa kuvumiliana tu ili tz yetu iwe ya amani.