Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp prison huko?Mpira ulishaanza ni dkk ya 3 sasa.
Sisi 0 wao 0
Sijajua mpaka sasa ngapi ngapi.Vp prison huko?
Analysis fupi ya mechi ikoje from your view?HALF TIME
YANGA 0 POLISI TANZANIA 0
Bado bila bilaSijajua mpaka sasa ngapi ngapi.
Kwa upande wa timu ya Wananchi imecheza vizuri shida iko kwenye namna ya kutengeneza nafasi za kufunga mabao.Analysis fupi ya mechi ikoje from your view?
Nyie wenye kikosi cha kucheza Bara na Pwani leo hii mnalalama? 🙄🙄 LolBado bila bila
ila , hii timu .. upepo gani huu wachezaj 6 kikos cha kwanza wote wanapata shida kwa wakati mmoja, kapombe kaongeza idadi sasa ni saba
Vpi huko taifa? mmewatia kabari au tia maji tia maji?
Bado ngoma ngumu mkuuBado bila bila
ila , hii timu .. upepo gani huu wachezaj 6 kikos cha kwanza wote wanapata shida kwa wakati mmoja, kapombe kaongeza idadi sasa ni saba
Vpi huko taifa? mmewatia kabari au tia maji tia maji?
Tumewadhibiti sana tu ila nafasi za kufunga mabao ndio zimekuwa haba.Bado bila bila
ila , hii timu .. upepo gani huu wachezaj 6 kikos cha kwanza wote wanapata shida kwa wakati mmoja, kapombe kaongeza idadi sasa ni saba
Vpi huko taifa? mmewatia kabari au tia maji tia maji?
Prison kwetu sisi ni mlima, sio timu nyingine.. miaka minne tumewafunga magoli matatu tuNyie wa kikosi cha kucheza Bara na Pwani leo hii mnalalama? 🙄🙄 Lol
Mwalimu atalifanyia kaziKwa upande wa timu ya Wananchi imecheza vizuri shida iko kwenye namna ya kufunga mabao.