Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Mliokaribu na Kocha mwambieni amwingize Nionzima aitulize timu na kuongeza ubunifu......amtoe Kisinda haisaidii chochote timu
Mimi walai sijuiag makocha hua wanawaza nini , hili lipo dunia nzima, wale watu ambao wanakupa ushindi unawakuta benchi , wale walipopaswa kua benchi ndio wanaanza

Angala jana benchi la Man utd na wale walioanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…