Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kulikuwa na haha gani ya kumtoa mchezaji wa namungo nje.kisa kaweka bukta vibaya?. anatoka tu na yanga Wana funga goli hauoni Kama NI mbinu?
Basi ingekua kila anapoumia mchezaji anavyotolewa nje timu zingekua zimafungwa sana kwa mda huo mchezaji anapokua nje
 
Kulikuwa na haha gani ya kumtoa mchezaji wa namungo nje.kisa kaweka bukta vibaya?. anatoka tu na yanga Wana funga goli hauoni Kama NI mbinu?
Mmh!! Hamkosi sababu.

Kama sikuelewa vibaya nadhani hakuwa amevaa zile skintight za ndani.
 
Alikuwa amekunja bukta Kama alivyo kuwa anafanya Sanchez.refa akamtoa.
Yule mchezaji anaomba kuingia ndani refa kakausha mpaka yanga wanapata goli ndo anamruhusu
Mmh!! Hamkosi sababu.

Kama sikuelewa vibaya nadhani hakuwa amevaa zile skintight za ndani.
 
Kulikuwa na haha gani ya kumtoa mchezaji wa namungo nje.kisa kaweka bukta vibaya?. anatoka tu na yanga Wana funga goli hauoni Kama NI mbinu?
Nilidhani yeye aliyetolewa alikuwa ndiyo kipa? au wachezaji wote wa Namungo Waliacha kucheza? . Simba mna matatizo nyinyi visingizio kibao.
 
Alikuwa amekunja bukta Kama alivyo kuwa anafanya Sanchez.refa akamtoa.
Yule mchezaji anaomba kuingia ndani refa kakausha mpaka yanga wanapata goli ndo anamruhusu
Hamna bwana mbona Mukoko yake kaipandisha juu kabisa?
 
Ndo maana nasema marefa wa TANZANIA fifa wataisikia redioni.
Nikukumbushe tu pia hao hao ndio wamefanya ukawa bingwa mara tatu na mara zote ulishangilia mbaya na hamna siku ulichukia vile wamekubeba kwa baadhi ya mechi.
 
Farid Leo game imemkataa na boko aliotoa limemtoa mchezoni kabisa, forward bado shida kila mtu anataka kufunga mwenyewe, Saido akija atatusaidia sana, all in all ushindi lazima
#Daima Mbele Nyuma Mwiko
 
Farid Leo game imemkataa na boko aliotoa limemtoa mchezoni kabisa, forward bado shida kila mtu anataka kufunga mwenyewe, Saido akija atatusaidia sana, all in all ushindi lazima
#Daima Mbele Nyuma Mwiko
heee
hawa wa sasa wote hawafai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…