Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Basi ingekua kila anapoumia mchezaji anavyotolewa nje timu zingekua zimafungwa sana kwa mda huo mchezaji anapokua njeKulikuwa na haha gani ya kumtoa mchezaji wa namungo nje.kisa kaweka bukta vibaya?. anatoka tu na yanga Wana funga goli hauoni Kama NI mbinu?