Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Nimewaona wamejazana mbaya. Ila hilo halisababishi tukashindwa kufanya yetu.
Hakika, fast half tumecheza vyema tatizo lipo kwenye umaliziaji...tumekosa nafasi zawazi kalibia 3 Hapo ndo ninapomkumbuka Makambo

Azam Kama wamekata Moto ivi inaweza ikawa game plan, wakirudi na mpila ule Sarpong,Farid HB wakireno wanahitaji kumaliza mchezo....naaamini kocha ameliona hili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…