Jina la Avatar yko ni DELA. Pia timu yenu imewashonea VIJORA kwa umbea na ushambenga mlionao. Et kubebwa mechi ya simba vs Yanga c mlipewa penati? Mechi ya Yanga vs KMC c mlipewa penati? Mechi ya Gwambina fc vs Yanga c lilikataliwa goli safi la Gwambina. Fatilien singeli na vjora vyenu football hamuiwez ndio mana yule kocha wenu aliwaita uneducated na NYANIHongereni kwa kubebwa asee!!
Simba kwa kubebwa dah!! Acheni hizo pambaneni kimen bwn
Tunamsubiria kwa hamu leo jioni tumuone japo hatujajua kama atakuwa chaguo la kwanza kwa Kaze.Yule mambo yapo wala habahatishi. Kucheza ligi kuu ya ufaransa si jambo Dogo asee. Atatupa experience ya hali ya juu sana!!
Heeeeee!!!Said Ntibatunganya?!
Ndio walewaleπ€ͺπHeeeeee!!!
Kuna mambo zinanizonga huu mwezi Mtani nadhani siku si nyingi ntazimaliza.umehadimika sana hapa jamvini
Shiindwa na Ulegee. Teh tehNdio walewaleπ€ͺπ
Weka na mechi zenu za kimataifa tuone.Hii ndio namna tumecheza mechi zetu tangia Ligi imeanza msimu wa 2020 / 2021 na leo tunaendeleza wimbi la ushindi kama kawaida.
View attachment 1653986
Wenzio tunapasua anga hivyoo. Savi tupo Zimbabwe kwa Mzee Mnangagwa. Tunawatafutia point ili nanyi mwakani mcheze CCL mkiwa kama washindi wa pili TPLShiindwa na Ulegee. Teh teh
Why timu no 2 ina michezo 14 na timu no 13 ina michezo 13? Compared to other teamsNa huu ndio msimamo mpaka saa hii. [emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1653987
Doooh!!!Wenzio tunapasua anga hivyoo. Savi tupo Zimbabwe kwa Mzee Mnangagwa. Tunawatafutia point ili nanyi mwakani mcheze CCL mkiwa kama washindi wa pili TPL
Usishangae Sadeeya, sisi hatuna mtimanyongo, Utopolo FC mtakwenda kimataifa kwa mbeleko ya LunyasiDoooh!!!
Hizi kauli ifikie hatua muziache kwani kama kwenda Kimataifa tutakwenda kwa nguvu zetu pasi kumtegemea yeyote.Usishangae Sadeeya, sisi hatuna mtimanyongo, Utopolo FC mtakwenda kimataifa kwa mbeleko ya Lunyasi
Uwakilishi wenu na KMC kimataifa ulichagizwa na nan?Hizi kauli ifikie hatua muziache kwani kama kwenda Kimataifa tutakwenda kwa nguvu zetu pasi kumtegemea yeyote.