Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Wewe umejuaje Mambo ya ushirikina? Bilashaka wewe ndiyo mchawi
 
Kwa asilimia mia
 
Kwani yanga dhidi ya kmc haikubebwa? Penati fake mlipewa. Dhidi ya gwambina mlipigwa goli halali likakataliwa, dhidi ya simba faulo nje 18 mkapewa penati. Ni kujidanganya kuwa mechi zote yanga imeshinda au kudraw kwa haki.

Ubingwa labda muibe kombe.
Msimu huu Yanga hapotezi mechi hata moja,kwa raundi ya pili Simba lazima apigike.Stay tuned Ubingwa unakwenda jangwani msimu huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…