100 Likes
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 2,416
- 5,165
Na kwako pia Mtani. Adimu sana weye.
Hahahahaaa. Ahsante nipo nasubiria timu yangu niishangilie.
Leo nipo mpaka mpira uishe, jana sisi Jamhuri tunaocheza ligi daraja la kwanza Zanzibar tulipata sare dhidi ya Yanga inayocheza ligi kuu Bara.