zanzibakwetu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2014
- 618
- 377
Mashabiki wa Simba Wana mdomo sana na ni Viherehere Kama Wanawake wa kizaramo .Ngoja mechi za makundi zianze wapigwe hutawaona tena watakimbia mbio Kama Mbwa mwizi.Kule Uarabuni wanawalia Tende na Kuwanywea Maziwa ya Ngamia huku Kongo wanalambiwa Vumbi la Kongo yani kipigo magoli 5+Hawa Uterembwe wamejazana huku kama kupe na paka zao wanatafuta nini??
Saa 10 :15Mechi saa ngapi
Show ShowMsitukimbie tu leo tuna hamu sana na nyie.
Tushauwa mtu uko [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yanga tuko vizuri View attachment 1674837
Mashabiki wa Simba mna kazi kweli yani mna vuhere here Kama Mwanamke wa kizaramo.Kwa Sasa umeamua kujifanya wewe mshabiki wa YangaDerby imekuja wakati mzuri, tukifungwa tutamsingizia paka ila kiukweli sisi utopolo hatuna timu ya kushindana na simba.
Acha mambo ya kishoga.Derby imekuja wakati mzuri, tukifungwa tutamsingizia paka ila kiukweli sisi utopolo hatuna timu ya kushindana na simba.
[emoji23][emoji23][emoji23] humo humo Yani ila wewe ni shabiki wa NYAU SCDerby imekuja wakati mzuri, tukifungwa tutamsingizia paka ila kiukweli sisi utopolo hatuna timu ya kushindana na simba.
Bilashaka ww ni janamke la kimakondeMashabiki wa Simba mna kazi kweli yani mna vuhere here Kama Mwanamke wa kizaramo.Kwa Sasa umeamua kujifanya wewe mshabiki wa Yanga
Kikosi cha Timu ya Wananchi jana kiliendelea na mazoezi kujiandaa na mechi ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Azam leo.
View attachment 1674466