Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Unapost timu ya Wananchi imeenda kushiriki Mapinduzi halafu anatokea mbumbumbu mmoja anakwambia kwani yanga kachukua Mapinduzi mara ngapi na kufika fainali mara ngapi. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Anasahau kwamba hata ile mara tatu yao imeanzia na moja. Lol.

Haya nyie mara tatu sisi tumechukua mara mbili.
 
Mwenye majina ya wachezaji waliopata zawadi na timu zao wanazochezea, naomba aniwekee hapa
Hatutaki. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…