Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Sijajua kuhusu miaka miwili iliyopita lakini kama Kuna mtu aliangalia game za Burundi afcon hawezi kuwa na shaka na uwezo wa Fiston.Hata nashangaa ambaye anadhani kuwa kwake mburundi ndo kumemfanya asajiliwe Yanga,Mimi naamini atafanya mazuri kwenye timu.
Haswaa!
 
Vipi leo utopolo watafanyia wapi mazoezi? Tandika primary school au Magomeni?
 
Naomba radhi kwa kuweka picha isiyokuaa na maadili
ahmedabdallah05-photo-2021_01_28_09_04.jpg
 
Wala usiombe radhi, acha awakeree tu. Morrison huku Simba si kwa ajili ya kucheza, ni kwa ajili ya kuwakera tu utopolo! na mtakereka haswaa, maana nje Manara ndani Morrison, mtakimbilia wapi sijui!
Kuna watu mna akili za kipumbavu nina mashaka nanyi sana.
 
Wala usiombe radhi, acha awakeree tu. Morrison huku Simba si kwa ajili ya kucheza, ni kwa ajili ya kuwakera tu utopolo! na mtakereka haswaa, maana nje Manara ndani Morrison, mtakimbilia wapi sijui!
Huna akili wewe, una kamasi kama la lopolopo wenu Manara na sasa Mrs Jonas.
 
Back
Top Bottom