Haswaa!Sijajua kuhusu miaka miwili iliyopita lakini kama Kuna mtu aliangalia game za Burundi afcon hawezi kuwa na shaka na uwezo wa Fiston.Hata nashangaa ambaye anadhani kuwa kwake mburundi ndo kumemfanya asajiliwe Yanga,Mimi naamini atafanya mazuri kwenye timu.
Wala usiombe radhi, acha awakeree tu. Morrison huku Simba si kwa ajili ya kucheza, ni kwa ajili ya kuwakera tu utopolo! na mtakereka haswaa, maana nje Manara ndani Morrison, mtakimbilia wapi sijui!Naomba radhi kwa kuweka picha isiyokuaa na maadiliView attachment 1687955
Kuna watu mna akili za kipumbavu nina mashaka nanyi sana.Wala usiombe radhi, acha awakeree tu. Morrison huku Simba si kwa ajili ya kucheza, ni kwa ajili ya kuwakera tu utopolo! na mtakereka haswaa, maana nje Manara ndani Morrison, mtakimbilia wapi sijui!
Ni kauli inayodhihirisha kuwa umekerekaaKuna watu mna akili za kipumbavu nina mashaka nanyi sana.
Huyu kocha Wa viungo bado Mdogo kama vipi msimu ujao tumsajili kama mchezaji tu. Mana nimeangalia clips zake anaonesha ni kiungo Wa kati matata tu tena anatumia miguu yote na ni mwepesi sana ha ha haTimu ya wananchi jana imeendelea na mazoezi kujiandaa na mzunguko wa pili.
View attachment 1689084
Vp ligi ya WANAUME Africa champion HATUA YA MAKUNDI? au ndio wagspagapaTimu ya wananchi jana imeendelea na mazoezi kujiandaa na mzunguko wa pili.
View attachment 1689084
Huna akili wewe, una kamasi kama la lopolopo wenu Manara na sasa Mrs Jonas.Wala usiombe radhi, acha awakeree tu. Morrison huku Simba si kwa ajili ya kucheza, ni kwa ajili ya kuwakera tu utopolo! na mtakereka haswaa, maana nje Manara ndani Morrison, mtakimbilia wapi sijui!
Vijana watupu.Benchi la ufundi kwa timu ya Wananchi
View attachment 1689082