Kweli? Nan kafunga?Tumepata bao eti. Lol
Yani kuna dak katika michezo ya Yanga, mashabiki tunaishi kama Mashabiki wa liverpool ๐คฃ๐คฃ๐คฃKafunga Kaseke.
Dkk ya 87 sasa.
Sijui kwa nini kocha huwa hamuamini?Dah, thanks kaseke
Acha kabisa. Mie nilishajikatia tamaa.Yani kuna dak katika michezo ya Yanga, mashabiki tunaishi kama Mashabiki wa liverpool ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Fiston asuburi Saido au Yacouba waponeSijui kwa nini kocha huwa hamuamini?
Mana huyo Fiston hamna alichokuwa anafanya.
Wale ndio zao kukaza.Hivi Mbeya City ubishi wote ule tatizo nini?
Mie nmetoka kibanda umiza saiz nipo njiani narud geto earphone masikioni ndo nikaingia jf๐๐, yani nimeshakata tamaa kitamboAcha kabisa. Mie nilishajikatia tamaa nikijua tumeambulia sare.
Kwa kweli. Mana mie mpaka sasa sijamuelewa.Fiston asuburi Saido au Yacouba wapone
Wamepata penalti Mbeya City huko. ๐๐๐Mie nmetoka kibanda umiza saiz nipo njiani narud geto earphone masikioni ndo nikaingia jf๐๐, yani nimeshakata tamaa kitambo
Yaleyaleeee๐คฃYYaalleeyyaallealyaeylealWamepata penalti Mbeya City huko. ๐๐๐
๐๐๐๐ ndo mpira.Yaleyaleeee๐คฃ
Kwasababu hakuna club inaubeba sio ? Kama ipo basi kinawezekana , pale Kinshasa kushinda si utaniMtani kwani hukumsikia yule roporopo wenu alisema kama una haya mawazo basi jifunike shuka ulale gubigubi kwani ni kitu ambacho hakiwezekani. [emoji28]