Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Kaka mkubwa Makoye tujuze yaliyojiri leo
Ni ishala nzuri kuutete vyema ubingwa
Umeshajijibu mwenyewe, unauliza nini tena?imebeba mara mbili mfululizo hako kakombe, mwaka jana tungebeba tena lakini hatukutaka ku-risk maisha huko kwa Omar El-Bashir, mwaka huu tunalirudisha tena jangwani
by Makoye Matale;
Simba ana point 3 zetu, tarehe 20/10/2013 atazitema tu
Mkuu Makoye Matale naomba matokeo ya hii mechi twafadhali,