Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

kwahiyo ndio mmekuja kwenye uzi wetu kutuletea vurugu


Tukutaneee 23

Kwahisani ya Tation ally ahly
 
HALI MBAYA SASA.
mpaka mapangaaa.
View attachment 1707193
Hivi Siku hizi mapanga yanafunga magoli? Nauliza tu usikute kina Kagere na Morrison wana mapanga miguuni😂😂😂 Ila Yanga mtakuja mpigwe Ban moja takatifu na hamtaamini kitakachotokea.

La kwanza kabisa kama hii issue yenu ya kususia ligi nawaona kabisa mkipelekwa mahali mnastahili. Wengine wanajitahid angalau kufika hapo mlipo alafu nyie mnatumia nafasi yenu kifala fala. Stupid!
 
UTABIRI;
• Yanga leo anashinda kwa ushindi mwembamba sana
•ushindi wa yanga leo utakuwa ni tofauti ya goli moja dhidi ya mpinzani wake.
msipopata hayo matokeo niliyoyatabiri basi mtapata SULUHU
 
Mimi naona wanafungwa .ikiwa bahati nzuri kwao basi droo
UTABIRI;
• Yanga leo anashinda kwa ushindi mwembamba sana
•ushindi wa yanga leo utakuwa ni tofauti ya goli moja dhidi ya mpinzani wake.
msipopata hayo matokeo niliyoyatabiri basi mtapata SULUHU
 
Stibwa wamekuja kipindi kibaya sanaaaa.
Leo mtibwa anaoga goli 3,
Amini nawambieni😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…