Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Maviiiii ya kuku wanasikia joto la mnyamaWananchi mnaendeleaje huko kileleni.
coastal Union wamewaletea makoti mmeyapata?
Hiyo haitoshi mbona timu imeanza kucheza mpira mbaya sana!?Hahaha akil znawakaa Sasa waliponad sera zao hatukuwaona ubingwa wa simba na yanga inategemea nani yupo kwenye kiti kikuu pale tff
Enz za malinz yanga juuuu
Enz za kariaa simba juuu
Tupambane tumuweke mtu wetu akae juu pale tff vingnevyo ndio Isha Isha hyo
Hao viongozi wawili ulowatajautendaji wao ni kama mamluki!Hii timu yangu viongozi wanatuangusha sana yan! leo nmeona tangazo Twitter la press, nkasema nifuatilie labda kuna kitu kipya, bado mindset za viongozi wa hii timu zipo kwenye bakuli mpaka sasa hakuna jipya[emoji23], Msola na Mwakalibela sijui wanakwama wapi, tulifeli kutokumchagua Dr. Tiboroha.
Ha ha ha ha nimecheka hilo swali lako!Piston(fiston) n garasa tu nalo hivi hawa wachezaj huwa anawaona nan
Kamati ya usajir ijitathmini haikidh viwango
Baba mapito yako kule ulaya yanasikitisha sana. Hivi hujaanza kuongea peke yako kweli!?[emoji1]
Sasa unavyokumbushia maswala ya uinhereza naona umeamua kuwa mkatili kwa mwenzio. Kuwa na huruma hali yake mbaya!!!Ss hapo we unavyoona kombe kubwa lipi? Kule England Man utd ndiyo team kubwa kuliko zote kutokana na kuchukua ligi mara nyingi.
Mechi ngumu sana na watakamia sanaKama naiona sare leo ..
Mara paap mmepigwa tenaMechi ngumu sana na watakamia sana
Tunafunga kwa tabu sana ila ngj tuone.