Kuna hili la kamati la usajir yanga waliweke wazi Kuna mambo yanatia Shaka Kuna mambo mawili hapa
1 kuna wachezaji walitambulishwa klabuni
2 Kuna wachezaji walitambulishwa kwenye Kochi jeupe na Eng hersi
Tetesi znasema wa kwenye Kochi jeupe wanalipwa na GSM
Na waliotambulishwa klabun wanalipwa na akina msolwa na mishahara yao inasuasua
Hivyo Kuna mgawanyiko mkubwa ndan ya klabu hili nalo n tatizo wachezaj hawawez kuwa pamoja kuna unyonge kwa wachezaji
YANGA N TIMU INAYOENDESHWA KIHUNI KUTOKANA NA UMASIKINI WETU ULIOTOPEA NA VIONGOZ WASIO NA VISION HIVYO WANABURUZWA WAPO YANGA ILI KUENDESHA FAMILIA ZAO NA S WAO KUIENDESHA YANGA
TUSIPOCHUKUA HATUA TIMU YETU ITAPOTEA