Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Utopolo mliambiwa na Engineer kua msipochukua ubingwa mmulize yeye, sasa mbona mnamwandama Msola badala Ya Hersi
 
Mkuu rutashubanyuma nakuheshimu lakn hutend haki hili n jikwaa la yanga kwann unapost vitu visibyoendana na michezo mfano umetuma attachment nyiingi zisizohusiana na michezo umegeuza jukwaa kuwa la siasa si vizur badirika
 
Mtani mm pekee ndo nmeachiwa uzi nipambane na nyie et 😁😁😁😁, nitaweza kweli???
Hahahaaaa. Hawa ikibidi ndo unahangaika nao nje ya hapo unawaangalia tu.

Nimerudi hivyo tutakuwa wote kusaidiana kujipandisha puresha mana ndo tulipofikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…