Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Tunaendelea mkuu, mpaka mwishoMie nilishashindwa aisee Mkuu. Muzidi kutuwakilisha.
Mtani naona unataka ukanicheke tu eti. 😂😂😂Tukikutana Mtani Twende.
Mizigo kama yakin Fiston na Sappong sasa basi! Ni wakati sasa Mwambusi kumpa nafasi WAZIRI JUNIOR kama alivyowapa hao maproo!Mkuu timu bado mpya sana,kikubwa tuombee wachezaji muhimu tuendelee kuwa nao msimu ujao huku tukiachana na mizigo na kuleta wachezaji wazuri,imagine kuanzia ile Yanga ya kina ajibu,gadiel,makambo na juzi hapa morison,iwapo tungeendelea kuwa na hao wachezaji kipindi hiki wakaungana na kina mukoko,kisinda na saidoo at least tungekua na timu ya ubingwa,tuendelee kujenga timu huku tukizuia wachezaji waandamizi kuondoka
Kweli Inabidi Waiweke Sa 1Usiku tu.Mtani naona unataka ukanicheke tu eti. 😂😂😂
Halafu safari hii tunakutana ndani ya Mwezi Mtukufu ujue.
Yap! Lakini bado itafanya watu wafuturu taifa.Kweli Inabidi Waiweke Sa 1Usiku tu.
😂😂😂 Ukitoka hapo unaenda kuangua kicheko nyumbani. 😂😂😂Ila Sitakucheka Mtani tutaombeleza Wote.
Mkuu kwa viongoz maamuma tulionao hawawez kutufikisha popote kaseke ashasaini Simba siyo za chini ya kapeti n ukweli huoKuna za chini ya kapeti KASEKE amemalizana na upande wa 2! Kama kweli viongozi wawe makini na mchezaji huyu tuyayemuamn, nanusa harufu ya hujuma, sababu mechi zake 2 za mwisho kama hasomeki hivi!
Acha uzwazwa kaseke sisi wa nini yanga tunamtaka mukoko pekeeKuna za chini ya kapeti KASEKE amemalizana na upande wa 2! Kama kweli viongozi wawe makini na mchezaji huyu tuyayemuamn, nanusa harufu ya hujuma, sababu mechi zake 2 za mwisho kama hasomeki hivi!
Bado unawaza ubingwa?Aiseee!! Acha kabisa Mtani.
Pole mtani[emoji23][emoji23] maskini tena. Lol
Cha kupangisha ?Ielekee Mara ngapi dadangu ishatuua tayar had hapa Simba n bingwa lakn utamsikia BUMBULI sisi tunaongoza ligi s hao wengne mnaowasema
Jamaa hafiti kabisa ile nafas ile mil 5 ya faini Bora tungetengeneza chumba kimoja pale jangwani
Hivi Yanga ina wazee kweli bado hamjagundua kuwa uwanja wa Taifa umedukuliwa na wabaya wenu kwanini hamshindi mechi zinazochezwa uwanja wa Mkapa wazee amkeni kuinusuru timu
Mi naendaga tu kwenye zile Derby Mtani.Twende next match