Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Nadhani sasa ni wakati wa Timu ya Wananchi kujipanga sawia ili huo msimu ujao wa 2021/2022 tuwe wa kwanza kuichukua hiyo M.500.
Kama hutaki basi. π€£π€£π€£π€£Uchukue ubingwa upi???? Nyie kuchukua ubingwa mpaka sisi tuamue sio vinginevyo.
Ooh!! Tusubirie tuone Mkuu.
Itakuwa lipo lililojificha mana sio bure.Hivi sakata la Lamine ukweli wake ni upi?View attachment 1800806
Kama hutaki basi. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila unavojuaga kuzichunia quotes zangu Mungu tu ndo anajua. Lol
Yeah nikweliOoh!! Tusubirie tuone Mkuu.
Japo kikubwa kinachodhamiriwa ndo kifanyike.
[emoji12][emoji12][emoji12]Itakuwa lipo lililojificha mana sio bure.
Ulitokomeaga wapi eti Mtani?[emoji12][emoji12][emoji12]
Daah!! Inabidi uongozi uangalie hilo mana yasije geuka ya msimu uliopita wachezaji kibao wakaachwa tukaja anza tena upya msimu ujao.
Na Lazima tu muanze upya mtani... Kuna wachezaji mnao pale wabovu na wengine Wanaotaka kuondoka, sio rahisi kuwepo msimu ujao.Daah!! Inabidi uongozi uangalie hilo mana yasije geuka ya msimu uliopita wachezaji kibao wakaachwa tukaja anza tena upya msimu ujao.
Mtani ni kweli lakini nikikaa nawaza watakuja wa aina gani mana usishangae tukashusha wachezaji wengine kwa mbwembwe lakini mwishowe wakawa magarasa vile vile.Na Lazima tu muanze upya mtani... Kuna wachezaji mnao pale wabovu na wengine Wanaotaka kuondoka, sio rahisi kuwepo msimu ujao.
1 Sarpong
2 Fiston
3 Nchimbi
4 Saidoo
5 Makapu
6 Niyonzima
7 Waziri Jr
8 Moro
9 Adeyuni
10 Mauya
Namba 4 na hata 8 nadhani wanatufaa bado.Na Lazima tu muanze upya mtani... Kuna wachezaji mnao pale wabovu na wengine Wanaotaka kuondoka, sio rahisi kuwepo msimu ujao.
1 Sarpong
2 Fiston
3 Nchimbi
4 Saidoo
5 Makapu
6 Niyonzima
7 Waziri Jr
8 Moro
9 Adeyuni
10 Mauya
Ni suala la muda tu Lamine naye kuondoka.......Sapong haina shidaDaah!! Inabidi uongozi uangalie hilo mana yasije geuka ya msimu uliopita wachezaji kibao wakaachwa tukaja anza tena upya msimu ujao.
Duuh!! Mie kinachonisikitisha ni vile hatupati timu inayokaa kwa pamoja muda mrefu yaani akija huyu basi ujue yule anaondoka. π€π€π€Ni suala la muda tu Lamine naye kuondoka.......Sapong haina shida
Ndiyo,juzi aliongea na East Africa Radio π» katoa tuhuma kibao, sidhani kama atabaki kwa maneno yaleDuuh!! Mie kinachonisikitisha ni vile hatupati timu inayokaa kwa pamoja muda mrefu yaani akija huyu basi ujue yule anaondoka. π€π€π€
Kumbe lamine naye yupo njiani?
Heee!! Hatari.Ndiyo,juzi aliongea na East Africa Radio π» katoa tuhuma kibao, sidhani kama atabaki kwa maneno yale