Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kumbe kama Yanga ingelikuwa katika Mashindano ya CAF ingekuwa bingwa maana simba iliyoogopewa ni MBoga kwa Yanga! Hongereni
Kwa ubingwa tusingechukua mana Yanga imeanza kubadilika hivi karibuni.
 
Hivi mmakonde alikuwepo mule....sisi walitucheka sana sisi kumtegemea Morrison kipindi yupo kwetu eti siku hizi amekuwa ndo amekuwa tegemeo lao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] Kagere ndani Bocco ndani Mugalu ndani [emoji23][emoji23] Lakini wapi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…