Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Wanatambulishwa wachezaj kila uchao

VP SHABAN DJUMA atatambulishwa lini jaman siyo Eng Hersi SAID anatuhadaa jaman katuona ss mambumbumbu anaweza kufanya atakalo juu yetu?

,,,==Muda utaongea,^^^^^^^_^

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Simba washaanza kambi,Yanga bado mpo na Manara pamoja porojo na vioja vya usajili.kelele na lawama kwa tff,marefa na body ya ligi hatutaki mwaka huu.
 
Nimejikuta wananikera hasa baada ya kusikia wanamuuza Tuisila. 🙁🙁

Yaani wanaifanya Yanga kama Daraja. Mmmmxiiieww. 🙃
 
Japo mikia wanaweweseka mbaya kuna uzi wanadai eti kafungwa goli 50 msimu mmoja? [emoji848][emoji848]

Hatujawahi fanya usajili wakaacha vibweka.

#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Numesikia mahala kwamba Huyo kipa aliyesajiliwa na Yanga ana historia ya kubeba makombe mpaka makwapa yanamuuma.Wanasema ni kipa mzuri sana amependekezwa na kocha mwenyewe.Wanaobeza wacha wabeze midomo ni mali yao lakini muda utasema watajutia kauli zao na kutukimbia humu mitandaoni.
 
Kweli kabisa usemalo Mkuu muda ndo mwamuzi mzuri na sio hizi tantalila.
 
Japo mikia wanaweweseka mbaya kuna uzi wanadai eti kafungwa goli 50 msimu mmoja? [emoji848][emoji848]

Hatujawahi fanya usajili wakaacha vibweka.

#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Maneno ya kishabiki tu hayo.. Profile yake imeshiba, kacheza national team zaidi ya game 45,kaishawahi chaguliwa katika kikosi bora cha caf as sub, akiwa na timu ya vijana kabeba vikombe zaidi ya vi3, profile yake imeshiba kuliko goalkeeper yoyote tz, tusubiri wakati utazungumza...

[emoji881][emoji881][emoji881]
 
Duuh!! Shukrani sana kwa hizi taarifa mana nilikuwa nasubiria nipate chance nianze kumsaka huko google na youtube nikamuone.
 
Duuh!! Shukrani sana kwa hizi taarifa mana nilikuwa nasubiria nipate chance nianze kumsaka huko google na youtube nikamuone.
Honours zake hizi hapa chini... Ila kisinda msingemuuza, kisinda fundi saana kakosa watu tu msimu ulioisha.. Inabidi tz tuwe na timu 3 za moto tukakinukishe caf huko, naona azam nae kajitahidi kusajili sijui impact yake uwanjani

[emoji881][emoji881][emoji881]
 
Hilo la kisinda hata na mie nimeumia aisee japo sijajua uongozi umewaza nini mpaka sasa.

Japo kiukweli alijua sana kuwanyanyasa Babu Onyango na Mohamed Hussein ambao kwa sasa itakuwa wanashukuru mno. 😀😀
 
Hilo la kisinda hata na mie nimeumia aisee japo sijajua uongozi umewaza nini mpaka sasa.

Japo kiukweli alijua sana kuwanyanyasa Babu Onyango na Mohamed Hussein ambao kwa sasa itakuwa wanashukuru mno. [emoji3][emoji3]
[emoji23]

Alikiwa anakosa watu, halafu sikuoenda tu jinsi kocha wenu alivyokuwa anamchezesha RW, nilikuwa natamani kuona anatokea kushoto ambako anakuwa huru kukata kulielekea goli na sio kule kulia akikimbia ni kwenye kibendera inabidi apige krosi ambazo hakuna mtumiaji mzuri,hii kwangu ni winga ya kizamani na kwa mtu kama tuisila unamnyima uhuru.

[emoji881][emoji881][emoji881]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…