Ahsante. Ndio ninavyoomba Mtani na kama hao Rivers sidhani kama wana maajabu sana endapo Yanga tutazichanga karata vyema hasa hapa kwa Mkapa.Hongeran mtani, this time Group Stage mnafika , naona mmepewa saiz yenu
Watuache kidogo aiseeDjuma Shabaan na Mrithi wa TK Master tayari Ni green and yellow. Ila Kuna tetesi waarabu wanakomaa na Mukoko Tunombe na wameshatuma ofa yao
Na nyie huwa mnahanga karata ?Ahsante. Ndio ninavyoomba Mtani na kama hao Rivers sidhani kama wana maajabu sana endapo Yanga tutazichanga karata vyema hasa hapa kwa Mkapa.
Daah!!Na nyie huwa mnahanga karata ?
[emoji16] mchezaji anaonekana tu chukueni judika hapo biasharaMdogo wangu ndo kusema ulipataga desa sehemu au?
😅😅 Binamu ongeza sauti kule nyuma wasikie hebu. 😅😅Hali inayoendelea kwa watani 🦁 asipoangalia uko moroco watarudi na makipa tu
Huu muda wenu wa kunenepa mtani.[emoji28][emoji28] Binamu ongeza sauti kule nyuma wasikie hebu. [emoji28][emoji28]
Baada ya manunu fc kujidanganya kwamba Shaban Djuma haji...
Pole kwao. 🤣🤣Baada ya manunu fc kujidanganya kwamba Shaban Djuma haji...
Huu ndio mshangao Walioupata baada ya Djuma kutambulishwaView attachment 1891942View attachment 1891943
Napita kuwakumbusha tu Mwarabu kashalipia Lodge anawasubiri.Baada ya manunu fc kujidanganya kwamba Shaban Djuma haji...
Huu ndio mshangao Walioupata baada ya Djuma kutambulishwaView attachment 1891942View attachment 1891943
Kwa usajili wetu msimu huu labda bahati tu isiwe upande wenu Ila sion mkishindwa fika group stageAhsante. Ndio ninavyoomba Mtani na kama hao Rivers sidhani kama wana maajabu sana endapo Yanga tutazichanga karata vyema hasa hapa kwa Mkapa.
Anadaka hadi upepo!nasikia ni mikono buku uyu
Ha ha ha haSasa huyu atadaka na nani au ndo wanamtegemea Kabwili?
Yuko Na Eric Johora toka Eagle Noir si mbayaSasa huyu atadaka na nani au ndo wanamtegemea Kabwili?
Ha ha ha ha anadaka chochote kinachotaka kuvuka mstari Wa goliNumesikia mahala kwamba Huyo kipa aliyesajiliwa na Yanga ana historia ya kubeba makombe mpaka makwapa yanamuuma.Wanasema ni kipa mzuri sana amependekezwa na kocha mwenyewe.Wanaobeza wacha wabeze midomo ni mali yao lakini muda utasema watajutia kauli zao na kutukimbia humu mitandaoni.
Ha ha ha ha ha hawana tofauti sana na huyu mbadala wake "Jesus Ducapel Moloko" labda tofauti yao ni vimo tu ila kasi anayo sana. Tabu kwa wazee iko palepale tu!Hilo la kisinda hata na mie nimeumia aisee japo sijajua uongozi umewaza nini mpaka sasa.
Japo kiukweli alijua sana kuwanyanyasa Babu Onyango na Mohamed Hussein ambao kwa sasa itakuwa wanashukuru mno. [emoji3][emoji3]
Akipiga gym ya maana kwa muda tu atakuwa hatari sana huyu Mana hadi sasa ni Fundi ila anatakiwa aongeze nguvu kidogo tu
Huyu ndiye mrithi Wa TK sasa!