Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Jezi zetu Simba ni nzuri, hata ninyi mkiwa pembeni mnazungumza hivyo (kama ambavyo Manara alivyoenda kuchekea chooni baada ya Kapumbu kufunga goli). Jambo la msingi ni kutengeneza vikosi,. Simba tunapasha kikosi, ninyi tafuteni muunganiko, ni miaka minne sasa mnautafuta! 😂Na baddo Mtani. 🤣🤣
Baada ya Vunja bei kuwaffuruga yaani mnatafuta ahueni kila kona. Lol